1 Wakorintho 13:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Upendo haushindwi kamwe.+ Lakini kama kuna zawadi za kutoa unabii, zitaondolewa mbali; kama kuna lugha, zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa mbali.+
8 Upendo haushindwi kamwe.+ Lakini kama kuna zawadi za kutoa unabii, zitaondolewa mbali; kama kuna lugha, zitakoma; kama kuna ujuzi, utaondolewa mbali.+