3 Kwa maana kupitia fadhili zisizostahiliwa nilizopewa namwambia kila mtu hapo kati yenu asijifikirie mwenyewe zaidi kuliko ilivyo lazima kufikiri;+ bali kufikiri ili awe na akili timamu,+ kila mmoja kama Mungu alivyomgawia kipimo+ cha imani.+
7 Lakini ningalipenda watu wote wawe kama mimi mwenyewe nilivyo.+ Hata hivyo, kila mmoja ana zawadi+ yake mwenyewe kutoka kwa Mungu, mmoja kwa njia hii, mwingine kwa njia ile.