4 huku Mungu akijiunga katika kutoa ushahidi kwa ishara na vilevile mambo ya ajabu na matendo mbalimbali yenye nguvu+ na kwa ugawaji+ wa roho takatifu kulingana na mapenzi yake?+
10 Kwa kadiri ambayo kila mmoja amepokea zawadi, itumieni katika kuhudumiana kama wasimamizi-nyumba wazuri wa fadhili zisizostahiliwa za Mungu zinazoonyeshwa kwa njia mbalimbali.+