Matendo 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti,+ mwanamume aliyeonyeshwa hadharani na Mungu kwenu kupitia kazi zenye nguvu+ na mambo ya ajabu na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake katikati yenu,+ kama vile ninyi wenyewe mnavyojua, 1 Wakorintho 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+
22 “Watu wa Israeli, sikieni maneno haya: Yesu Mnazareti,+ mwanamume aliyeonyeshwa hadharani na Mungu kwenu kupitia kazi zenye nguvu+ na mambo ya ajabu na ishara ambazo Mungu alifanya kupitia kwake katikati yenu,+ kama vile ninyi wenyewe mnavyojua,
4 na maneno yangu na mambo niliyohubiri hayakuwa kwa maneno yenye kushawishi ya hekima bali kwa wonyesho wa roho na nguvu,+