19 kwa nguvu za ishara na mambo ya ajabu,+ kwa nguvu za roho takatifu; hivi kwamba kutoka Yerusalemu na kuzunguka+ mpaka Ilirikamu nimehubiri kikamili habari njema juu ya Kristo.+
5 kwa sababu habari njema tunayohubiri haikutokea katikati yenu kwa maneno peke yake bali pia kwa nguvu+ na kwa roho takatifu na usadikisho+ wenye nguvu, kama vile mnavyojua namna ya watu ambao sisi tulikuwa kwenu kwa ajili yenu;+
16 Sivyo, haikuwa kwa kufuata hadithi za uwongo zilizotungwa+ kwa ufundi kwamba tuliwafahamisha ninyi juu ya nguvu na kuwapo kwa Bwana wetu Yesu Kristo,+ lakini ilikuwa kwa sisi kuwa mashahidi wa kujionea fahari yake.+