Mathayo 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+ Marko 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi siku sita baadaye Yesu akawachukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao. Sura yake ikageuka mbele yao,+ Luka 9:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Naye alipokuwa akisali sura ya uso+ wake ikawa tofauti na vazi lake likawa jeupe kwa kumetameta.+
2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+
2 Basi siku sita baadaye Yesu akawachukua Petro na Yakobo na Yohana pamoja naye, akawapandisha katika mlima mrefu wakiwa peke yao. Sura yake ikageuka mbele yao,+