Mathayo 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+ Marko 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 na mavazi yake ya nje yakametameta, yakawa meupe kuliko vile msafisha-nguo yeyote duniani anavyoweza kuyafanya.+
2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+
3 na mavazi yake ya nje yakametameta, yakawa meupe kuliko vile msafisha-nguo yeyote duniani anavyoweza kuyafanya.+