Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Nikaendelea kutazama mpaka viti vya ufalme vikawekwa+ na Mzee wa Siku+ akaketi. Mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji,+ na nywele za kichwa chake zilikuwa kama sufu safi.+ Kiti chake cha ufalme kilikuwa ni miali ya moto;+ magurudumu yake yalikuwa ni moto unaowaka.+

  • Mathayo 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Sura yake ikageuka mbele yao, na uso wake ukang’aa kama jua,+ na mavazi yake ya nje yakang’aa kama nuru.+

  • Mathayo 28:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Alionekana kama umeme,+ na mavazi yake yalikuwa meupe kama theluji.+

  • Luka 9:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Naye alipokuwa akisali sura ya uso+ wake ikawa tofauti na vazi lake likawa jeupe kwa kumetameta.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki