Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo mwanamke huyo akaenda, akamwambia mume wake: “Kuna mtu fulani wa Mungu wa kweli ambaye alinijia, na sura yake ilikuwa kama sura ya malaika wa Mungu wa kweli,+ yenye kuogopesha sana.+ Nami sikumuuliza mahali alikotoka, wala hakuniambia jina lake.+

  • Danieli 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki