Waamuzi 13:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Ndipo mwanamke huyo akaenda na kumwambia hivi mume wake: “Mtu fulani wa Mungu wa kweli alinijia, na alikuwa kama malaika wa Mungu wa kweli, naye alikuwa mwenye kuogopesha sana. Sikumuuliza alikotoka, wala hakuniambia jina lake.+
6 Ndipo mwanamke huyo akaenda na kumwambia hivi mume wake: “Mtu fulani wa Mungu wa kweli alinijia, na alikuwa kama malaika wa Mungu wa kweli, naye alikuwa mwenye kuogopesha sana. Sikumuuliza alikotoka, wala hakuniambia jina lake.+