16 Na kuonekana kwa magurudumu+ hayo na muundo wake, kulikuwa kama mng’ao wa krisolito;+ nayo yote manne yalikuwa mfano mmoja. Na kuonekana kwake na muundo wake ni kama vile gurudumu linavyokuwa katikati ya gurudumu.+
20 wa tano sardoniksi, wa sita sardio, wa saba krisolito,+ wa nane beroli, wa tisa topazi,+ wa kumi krisopraso, wa kumi na moja hayasinthi, wa kumi na mbili amethisto.+