Kutoka 39:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao mstari wa nne+ ulikuwa krisolito na shohamu+ na yashefi. Yaliwekwa katika mapambo ya dhahabu katika mahali pake. Danieli 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati.
13 Nao mstari wa nne+ ulikuwa krisolito na shohamu+ na yashefi. Yaliwekwa katika mapambo ya dhahabu katika mahali pake.
6 Na mwili wake ulikuwa kama krisolito,+ na uso wake kama umeme,+ na macho yake kama mienge yenye kuwaka moto,+ na mikono yake na miguu yake ilionekana kama shaba iliyong’arishwa,+ na sauti ya maneno yake ilikuwa kama sauti ya umati.