Marko 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Walipoingia ndani ya kaburi, wakaona kijana ameketi upande wa kuume akiwa amevaa kanzu nyeupe, nao wakafadhaika.+ Luka 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Walipokuwa wakifadhaika juu ya hilo, tazama! wanaume wawili waliovaa mavazi yenye kung’aa wakasimama kando yao.+ Matendo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao walipokuwa wakitazama angani alipokuwa ameondoka na kwenda,+ pia, tazama! wanaume wawili wenye mavazi meupe+ wakasimama kando yao, Ufunuo 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikamwona malaika+ mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni, amepambwa wingu,+ na upinde wa mvua ulikuwa juu ya kichwa chake, na uso wake ulikuwa kama jua,+ na miguu+ yake ilikuwa kama nguzo za moto,
5 Walipoingia ndani ya kaburi, wakaona kijana ameketi upande wa kuume akiwa amevaa kanzu nyeupe, nao wakafadhaika.+
4 Walipokuwa wakifadhaika juu ya hilo, tazama! wanaume wawili waliovaa mavazi yenye kung’aa wakasimama kando yao.+
10 Nao walipokuwa wakitazama angani alipokuwa ameondoka na kwenda,+ pia, tazama! wanaume wawili wenye mavazi meupe+ wakasimama kando yao,
10 Nami nikamwona malaika+ mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni, amepambwa wingu,+ na upinde wa mvua ulikuwa juu ya kichwa chake, na uso wake ulikuwa kama jua,+ na miguu+ yake ilikuwa kama nguzo za moto,