6 Ndipo mwanamke huyo akaenda, akamwambia mume wake: “Kuna mtu fulani wa Mungu wa kweli ambaye alinijia, na sura yake ilikuwa kama sura ya malaika wa Mungu wa kweli,+ yenye kuogopesha sana.+ Nami sikumuuliza mahali alikotoka, wala hakuniambia jina lake.+