-
Ufunuo 10:1Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
10 Nami nikaona malaika mwingine mwenye nguvu akishuka kutoka mbinguni, amepambwa wingu, na upinde-mvua ulikuwa juu ya kichwa chake, na uso wake ulikuwa kama jua, na miguu yake ilikuwa kama nguzo zenye moto,
-