13 “Nikaendelea kuona katika maono ya usiku, na, tazama! mtu fulani kama mwana wa binadamu+ alikuwa anakuja na mawingu+ ya mbingu; naye akaja kwa Mzee wa Siku,+ nao wakamleta karibu mbele zake Yule.+
22 mpaka Mzee wa Siku+ alipokuja na hukumu ikatolewa kwa faida ya watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi,+ na wakati hususa ukafika ambapo watakatifu waliumiliki ufalme.+
12 Je, wewe si wa tangu zamani za kale, Ee Yehova?+ Ee Mungu wangu, Mtakatifu wangu, wewe hufi.+ Ee Yehova, umeliweka kwa ajili ya hukumu; na kwa ajili ya kukaripia+ umeliwekea msingi, Ee Mwamba.+
2 Baada ya mambo haya mara moja nikawa katika nguvu za roho: na, tazama! kiti cha ufalme+ kilikuwa mahali pake mbinguni,+ na kuna yule aliyeketi juu ya kile kiti cha ufalme.+