Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Wakati Mwana wa binadamu+ atakapofika katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye,+ ndipo atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu.+

  • Yohana 3:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+

  • Matendo 7:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 naye akasema: “Tazameni! Ninaziona mbingu zimefunguka+ na Mwana wa binadamu+ akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu.”

  • Wafilipi 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Hapana, bali alijiondolea mwenyewe hali yake na kuchukua umbo la mtumwa+ na kuwa kama wanadamu.+

  • Waebrania 2:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi, kwa kuwa “watoto wachanga” ni washiriki wa damu na mwili, yeye pia vivyo hivyo aliyashiriki mambo hayohayo,+ ili kupitia kifo+ chake apate kumwangamiza+ yule aliye na uwezo wa kusababisha kifo,+ yaani, Ibilisi;+

  • Ufunuo 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na katikati ya vinara hivyo vya taa palikuwa na mtu kama mwana wa binadamu,+ aliyevikwa vazi lililofika chini miguuni, na aliyefungwa kifuani mshipi wa dhahabu.

  • Ufunuo 14:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nami nikaona, na, tazama! wingu jeupe, na mtu fulani kama mwana wa binadamu+ ameketi juu ya wingu lile, mwenye taji la dhahabu+ juu ya kichwa chake na mundu mkali mkononi mwake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki