Waroma 8:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+ Waefeso 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+ Wakolosai 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa+ pamoja na Kristo, endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu,+ ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+
34 Ni nani ambaye atahukumu kuwa na hatia? Kristo Yesu ndiye aliyekufa, ndiyo, afadhali zaidi kusema yeye ndiye aliyefufuliwa kutoka kwa wafu, aliye kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu, ambaye pia hutuombea.+
20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+
3 Hata hivyo, ikiwa mlifufuliwa+ pamoja na Kristo, endeleeni kutafuta mambo yaliyo juu,+ ambako Kristo ameketi kwenye mkono wa kuume wa Mungu.+