Waefeso 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye alituinua+ pamoja na kutuketisha pamoja katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo Yesu, Waebrania 7:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+
6 naye alituinua+ pamoja na kutuketisha pamoja katika mahali pa kimbingu+ katika muungano na Kristo Yesu,
26 Kwa maana kuhani mkuu wa namna hiyo alitufaa sisi,+ mshikamanifu,+ asiye na hila,+ asiye na unajisi,+ aliyetengwa kutoka kwa watenda-dhambi,+ na kuwa juu zaidi kuliko mbingu.+