Isaya 16:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 “Na kiti cha ufalme hakika kitafanywa imara kwa fadhili zenye upendo;+ na mtu ataketi juu yake katika ukweli ndani ya hema la Daudi,+ akihukumu na kutafuta haki na kuwa mwenye haraka kufanya uadilifu.”+ Waebrania 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Alikuwa mwaminifu+ kwa Huyo aliyemfanya kuwa hivyo, kama Musa+ alivyokuwa pia katika nyumba yote ya Huyo.+
5 “Na kiti cha ufalme hakika kitafanywa imara kwa fadhili zenye upendo;+ na mtu ataketi juu yake katika ukweli ndani ya hema la Daudi,+ akihukumu na kutafuta haki na kuwa mwenye haraka kufanya uadilifu.”+
2 Alikuwa mwaminifu+ kwa Huyo aliyemfanya kuwa hivyo, kama Musa+ alivyokuwa pia katika nyumba yote ya Huyo.+