Waefeso 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+ Waebrania 4:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye amepita katika mbingu,+ Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumkiri yeye.+ 1 Petro 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Yeye yuko mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda zake mbinguni; na malaika+ na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+
20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+
14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye amepita katika mbingu,+ Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumkiri yeye.+
22 Yeye yuko mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda zake mbinguni; na malaika+ na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+