Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waefeso 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 ambao kwa huo ametenda kuhusiana na Kristo alipomfufua kutoka kwa wafu+ na kumketisha kwenye mkono wake wa kuume+ katika mahali pa kimbingu,+

  • Waebrania 4:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Basi, kwa kuwa tuna kuhani mkuu sana ambaye amepita katika mbingu,+ Yesu Mwana wa Mungu,+ acheni tuendelee kumkiri yeye.+

  • 1 Petro 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Yeye yuko mkono wa kuume wa Mungu,+ kwa maana alienda zake mbinguni; na malaika+ na mamlaka na nguvu vilitiishwa kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki