Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Basi ikawa kwamba katika mwaka wa 30, mwezi wa 4, siku ya 5 ya mwezi huo, nilipokuwa kati ya watu waliohamishwa+ kando ya mto Kebari,+ mbingu zilifunguka+ nami nikaanza kuona maono ya Mungu.+

  • Mathayo 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Baada ya kubatizwa Yesu akapanda mara moja kutoka katika maji; na, tazama! mbingu zikafunguliwa,+ naye akaona roho ya Mungu ikishuka kama njiwa,+ ikija juu yake.+

  • Yohana 1:51
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 51 Akazidi kumwambia: “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mtaona mbingu imefunguliwa na malaika+ za Mungu wakipanda na kushuka mpaka kwa Mwana wa binadamu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki