Ezekieli 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Basi ikawa kwamba katika mwaka wa 30, mwezi wa 4, siku ya 5 ya mwezi huo, nilipokuwa kati ya watu waliohamishwa+ kando ya mto Kebari,+ mbingu zilifunguka+ nami nikaanza kuona maono ya Mungu.+ Marko 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Mara moja alipopanda kutoka majini akaona mbingu zikifunguka, na roho ikashuka juu yake kama njiwa;+ Luka 3:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Basi watu wote walipokuwa wamebatizwa, Yesu+ pia akabatizwa na, alipokuwa akisali, mbingu+ ilifunguliwa Matendo 7:56 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 56 naye akasema: “Tazameni! Ninaziona mbingu zimefunguka+ na Mwana wa binadamu+ akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu.”
1 Basi ikawa kwamba katika mwaka wa 30, mwezi wa 4, siku ya 5 ya mwezi huo, nilipokuwa kati ya watu waliohamishwa+ kando ya mto Kebari,+ mbingu zilifunguka+ nami nikaanza kuona maono ya Mungu.+
10 Mara moja alipopanda kutoka majini akaona mbingu zikifunguka, na roho ikashuka juu yake kama njiwa;+
21 Basi watu wote walipokuwa wamebatizwa, Yesu+ pia akabatizwa na, alipokuwa akisali, mbingu+ ilifunguliwa
56 naye akasema: “Tazameni! Ninaziona mbingu zimefunguka+ na Mwana wa binadamu+ akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu.”