Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Basi ikawa kwamba katika mwaka wa 30, mwezi wa 4, siku ya 5 ya mwezi huo, nilipokuwa kati ya watu waliohamishwa+ kando ya mto Kebari,+ mbingu zilifunguka+ nami nikaanza kuona maono ya Mungu.+

  • Marko 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Mara moja alipopanda kutoka majini akaona mbingu zikifunguka, na roho ikashuka juu yake kama njiwa;+

  • Luka 3:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Basi watu wote walipokuwa wamebatizwa, Yesu+ pia akabatizwa na, alipokuwa akisali, mbingu+ ilifunguliwa

  • Matendo 7:56
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 56 naye akasema: “Tazameni! Ninaziona mbingu zimefunguka+ na Mwana wa binadamu+ akiwa amesimama kwenye mkono wa kuume+ wa Mungu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki