15 Kwa hiyo nikaingia katikati ya watu waliohamishwa huko Tel-abibu, waliokuwa wakikaa+ kando ya mto Kebari,+ nami nikaanza kukaa mahali walipokuwa wakikaa; nami nikaendelea kukaa hapo kwa siku saba, nikiwa nimepigwa na bumbuazi katikati yao.+
3 Nayo ilionekana kama maono niliyokuwa nimeona,+ kama maono niliyoona nilipokuja kuliharibu jiji;+ pia kulionekana vitu kama nilivyoona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.