Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 137 Kando ya mito ya Babiloni+—​huko tuliketi.+

      Pia tulilia tulipokumbuka Sayuni.+

  • Ezekieli 3:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa hiyo nikaingia katikati ya watu waliohamishwa huko Tel-abibu, waliokuwa wakikaa+ kando ya mto Kebari,+ nami nikaanza kukaa mahali walipokuwa wakikaa; nami nikaendelea kukaa hapo kwa siku saba, nikiwa nimepigwa na bumbuazi katikati yao.+

  • Ezekieli 10:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na makerubi hao walikuwa wakiinuka+—ni kiumbe hai kilekile nilichokuwa nimekiona kwenye mto Kebari+—

  • Ezekieli 43:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Nayo ilionekana kama maono niliyokuwa nimeona,+ kama maono niliyoona nilipokuja kuliharibu jiji;+ pia kulionekana vitu kama nilivyoona kando ya mto Kebari,+ nami nikaanguka kifudifudi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki