Ezekieli 43:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mambo niliyoona yalikuwa kama maono niliyoona nilipokuja* kuliangamiza jiji, na yalionekana kama mambo niliyoona karibu na mto Kebari;+ nami nikaanguka kifudifudi.
3 Mambo niliyoona yalikuwa kama maono niliyoona nilipokuja* kuliangamiza jiji, na yalionekana kama mambo niliyoona karibu na mto Kebari;+ nami nikaanguka kifudifudi.