-
Ezekieli 1:3, 4Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 neno la Yehova lilimjia Ezekieli* mwana wa Buzi kuhani akiwa kando ya mto Kebari katika nchi ya Wakaldayo.+ Na huko, mkono wa Yehova ukaja juu yake.+
4 Nilipokuwa nikitazama, nikaona tufani ya upepo+ ikija kutoka kaskazini, na kulikuwa na wingu kubwa na moto unaowakawaka*+ uliozungukwa na nuru nyangavu, na katikati ya ule moto kulikuwa na kitu kilichong’aa kama mchanganyiko wa dhahabu na fedha.+
-