Kutoka 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+ Zaburi 97:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+ 3 Moto hutangulia mbele zake+Na kuwateketeza kabisa maadui wake pande zote.+
18 Mlima Sinai ulifuka moshi kila mahali, kwa sababu Yehova alishuka juu yake katika moto;+ na moshi huo ulikuwa ukipaa kama moshi wa tanuru,* na mlima wote ulikuwa ukitetemeka kwa nguvu sana.+
2 Mawingu na giza zito vinamzunguka;+Uadilifu na haki ndio msingi wa kiti chake cha ufalme.+ 3 Moto hutangulia mbele zake+Na kuwateketeza kabisa maadui wake pande zote.+