Ezekieli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nilipokuwa nikitazama, niliona umbo lililoonekana kama moto; kulikuwa na moto chini ya kitu kilichoonekana kama kiuno chake,+ na kuanzia kiuno chake kwenda juu, mwonekano wake uling’aa kama mchanganyiko wa dhahabu na fedha.+
2 Nilipokuwa nikitazama, niliona umbo lililoonekana kama moto; kulikuwa na moto chini ya kitu kilichoonekana kama kiuno chake,+ na kuanzia kiuno chake kwenda juu, mwonekano wake uling’aa kama mchanganyiko wa dhahabu na fedha.+