4 Nilipokuwa nikitazama, nikaona tufani ya upepo+ ikija kutoka kaskazini, na kulikuwa na wingu kubwa na moto unaowakawaka*+ uliozungukwa na nuru nyangavu, na katikati ya ule moto kulikuwa na kitu kilichong’aa kama mchanganyiko wa dhahabu na fedha.+
27 Nami nikaona kitu kinachong’aa kama mchanganyiko wa dhahabu na fedha,+ kilichokuwa kama moto unaong’aa kutoka kwenye kile kilichoonekana kuwa kiuno chake kwenda juu; na kutoka kwenye kiuno chake kwenda chini, nikaona kitu kilichofanana na moto.+ Kulikuwa na mwangaza mkali kumzunguka pande zote