38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.
1Basi ikawa kwamba katika mwaka wa 30, mwezi wa 4, siku ya 5 ya mwezi huo, nilipokuwa kati ya watu waliohamishwa+ kando ya mto Kebari,+ mbingu zilifunguka+ nami nikaanza kuona maono ya Mungu.+