Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 44:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Yule anayekiambia kilindi cha maji, ‘Kauka; nami nitaikausha mito yako yote’;+

  • Yeremia 50:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.

  • Yeremia 51:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ee mwanamke unayekaa juu ya maji mengi,+ mwenye hazina nyingi,+ mwisho wako umekuja, kipimo+ chako cha kupata faida.+

  • Yeremia 51:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 na kwamba vivuko vimeshikwa,+ na mashua zilizotengenezwa kwa mafunjo wameziteketeza kwa moto, na watu wa vita wameingiwa na hofu.”+

  • Ezekieli 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Basi ikawa kwamba katika mwaka wa 30, mwezi wa 4, siku ya 5 ya mwezi huo, nilipokuwa kati ya watu waliohamishwa+ kando ya mto Kebari,+ mbingu zilifunguka+ nami nikaanza kuona maono ya Mungu.+

  • Danieli 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na katika siku ya 24 ya mwezi wa kwanza, nilipokuwa kwenye ukingo wa ule mto mkubwa, yaani, Hidekeli,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki