Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 74:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wewe ndiye Yule aliyepasua bubujiko na mto;+

      Wewe mwenyewe uliikausha mito inayotiririka daima.+

  • Isaya 42:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Nitaharibu+ milima na vilima, nami nitakausha majani yake yote. Nami nitaibadili mito iwe visiwa, nitayakausha madimbwi yenye matete mengi.+

  • Yeremia 50:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Kuna uharibifu juu ya maji yake, nayo lazima yatakaushwa.+ Kwa maana hiyo ni nchi ya sanamu za kuchongwa,+ na kwa sababu ya maono yao yenye kutia hofu wanaendelea kutenda kiwazimu.

  • Ufunuo 16:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na yule wa sita+ akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka,+ ili njia itayarishwe kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki