46Beli+ ameinama,+ Nebo amejikunja; sanamu+ zao zimekuwa za wanyama-mwitu na za wanyama wa kufugwa, mizigo yao, vifurushi, mzigo wa kulemea wanyama waliochoka.
52 “Kwa hiyo, tazama! siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitakaza fikira zangu juu ya sanamu zake za kuchongwa,+ na katika nchi yake yote aliyechomwa ataugua.”+