36 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaendesha kesi yako,+ nami hakika nitalipiza kisasi kwa ajili yako.+ Nami nitaikausha bahari yake, nitavikausha visima vyake.+
12 Na yule wa sita+ akamwaga bakuli lake juu ya mto mkubwa Efrati,+ na maji yake yakakauka,+ ili njia itayarishwe kwa ajili ya wafalme+ wanaotoka mashariki.