Zaburi 140:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Najua vema kwamba Yehova atatimiza+Dai halali la mwenye kuteseka, hukumu ya maskini.+ Yeremia 50:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+
34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+