Zaburi 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Endesha kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu, Ee Yehova;+Upigane na wale wanaopigana nami.+ Zaburi 43:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+ Maombolezo 3:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Umeona kosa nililotendewa, Ee Yehova.+ Tafadhali fanya hukumu kwa ajili yangu.+
43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+