Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 25:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Basi Daudi akasikia kwamba Nabali amekufa, kwa hiyo akasema: “Abarikiwe Yehova, ambaye amefanya kesi+ ya shutuma+ yangu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwa Nabali na ambaye amemzuia mtumishi wake asifanye ubaya,+ na Yehova ameurudisha ubaya wa Nabali juu ya kichwa chake mwenyewe!”+ Kisha Daudi akatuma watu na kumwambia Abigaili kwamba alipenda kumchukua awe mke wake.+

  • Zaburi 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa maana umetekeleza hukumu yangu na kesi yangu;+

      Umeketi juu ya kiti cha ufalme ukihukumu kwa uadilifu.+

  • Zaburi 35:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Uamke na ukae macho kwa ajili ya hukumu yangu,+

      Kwa ajili ya kesi yangu,+ Ee Mungu wangu, naam, Yehova.

  • Zaburi 43:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 43 Unihukumu,+ Ee Mungu,

      Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.

      Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+

  • Yeremia 51:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaendesha kesi yako,+ nami hakika nitalipiza kisasi kwa ajili yako.+ Nami nitaikausha bahari yake, nitavikausha visima vyake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki