Kumbukumbu la Torati 32:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+ 1 Samweli 24:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Na Yehova atakuwa mwamuzi, naye atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kufanya kesi+ kwa ajili yangu na kunihukumu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwako.” Zaburi 35:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Endesha kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu, Ee Yehova;+Upigane na wale wanaopigana nami.+ Zaburi 43:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+ Methali 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+
35 Kisasi ni changu, na malipo.+Katika wakati uliowekwa mguu wao utasogea kwa kuyumba-yumba,+Kwa maana siku ya maafa yao iko karibu,+Na matukio yanafanya haraka kujitayarisha kwa ajili yao.’+
15 Na Yehova atakuwa mwamuzi, naye atahukumu kati yangu na wewe, naye ataona na kufanya kesi+ kwa ajili yangu na kunihukumu ili kuniweka huru kutoka mkononi mwako.”
43 Unihukumu,+ Ee Mungu, Na uendeshe kesi+ yangu dhidi ya taifa lisilo shikamanifu.Uniokoe kutoka kwa mtu wa udanganyifu na mwenye kukosa uadilifu.+
23 Kwa maana Yehova mwenyewe atatetea kesi yao,+ naye hakika atawanyang’anya nafsi wale wanaowanyang’anya.+