Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 24:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yehova na ahukumu kati yangu na wewe;+ na Yehova anilipizie kisasi+ kutoka kwako, lakini mkono wangu mwenyewe hautakuja juu yako.+

  • Zaburi 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 “Kwa sababu ya kuporwa kwao wenye kuteseka, kwa sababu ya kuugua kwao maskini,+

      Nitasimama wakati huu,” asema Yehova.+

      “Nitamweka katika usalama mbali na mtu yeyote anayemdhihaki.”+

  • Methali 23:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana Mkombozi wao ana nguvu; yeye mwenyewe atatetea kesi yao dhidi yako wewe.+

  • Yeremia 50:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+

  • Mika 7:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia​—​kwa maana nimemtendea dhambi+​—​mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki