34 Mkombozi wao ni mwenye nguvu,+ Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+ Bila shaka ataendesha kesi yao,+ ili aipe nchi utulivu+ na kuwafadhaisha wakaaji wa Babiloni.”+
9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia—kwa maana nimemtendea dhambi+—mpaka atakapoendesha kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.+ Atanileta kwenye nuru; nitautazama uadilifu wake.+