Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Naye atauleta uadilifu wako kama nuru,+

      Na haki yako kama katikati ya mchana.+

  • 1 Wakorintho 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+

  • 2 Wathesalonike 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 wakati atakapokuja kutukuzwa kuhusiana na watakatifu+ wake na kustaajabiwa katika siku hiyo kuhusiana na wote walioonyesha imani, kwa sababu ushahidi tulioutoa ulikubaliwa kwa imani kati yenu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki