5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+
10 wakati atakapokuja kutukuzwa kuhusiana na watakatifu+ wake na kustaajabiwa katika siku hiyo kuhusiana na wote walioonyesha imani, kwa sababu ushahidi tulioutoa ulikubaliwa kwa imani kati yenu.