Kutoka 22:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Mkimtesa hata kidogo, naye anililie hata kidogo, sitakosa kukisikia kilio chake;+ Kumbukumbu la Torati 27:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “‘Amelaaniwa yule ambaye hupotosha+ hukumu+ ya mkaaji mgeni,+ mvulana asiye na baba na mjane.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Zaburi 10:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana wewe mwenyewe umeona taabu na masumbufu.Unaendelea kutazama, uyatie katika mkono wako.+Mtu mwenye taabu,+ mvulana asiye na baba, anajikabidhi kwako.Wewe mwenyewe umekuwa msaidizi wake.+ Zaburi 68:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Baba ya wavulana wasio na baba na mwamuzi wa wajane+Ni Mungu katika makao yake matakatifu.+
19 “‘Amelaaniwa yule ambaye hupotosha+ hukumu+ ya mkaaji mgeni,+ mvulana asiye na baba na mjane.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
14 Kwa maana wewe mwenyewe umeona taabu na masumbufu.Unaendelea kutazama, uyatie katika mkono wako.+Mtu mwenye taabu,+ mvulana asiye na baba, anajikabidhi kwako.Wewe mwenyewe umekuwa msaidizi wake.+