Zaburi
ל [Laʹmedh]
2 Katika majivuno yake, mwovu humfuatilia vikali mwenye kuteseka;+
Wanakamatwa na mawazo ambayo wametunga.+
3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+
Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;
נ [Nun]
Amekosa kumheshimu Yehova.+
5 Njia zake zinaendelea kufanikiwa wakati wote.+
Maamuzi yako ya hukumu yako juu sana asiweze kuyafikia;+
Nao wale wote wanaomwonyesha uadui, anawafanyia dhihaka.+
פ [Peʼ]
7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+
Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+
ע [ʽAʹyin]
Macho yake yanamtafuta mtu mwenye taabu.+
9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+
Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.
Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+
ק [Qohph]
ר [Rehsh]
14 Kwa maana wewe mwenyewe umeona taabu na masumbufu.
Unaendelea kutazama, uyatie katika mkono wako.+
Mtu mwenye taabu,+ mvulana asiye na baba, anajikabidhi kwako.
Wewe mwenyewe umekuwa msaidizi wake.+
ש [Shin]
16 Yehova ni Mfalme mpaka wakati usio na kipimo, naam, milele.+
Mataifa yameangamia kutoka katika dunia yake.+
ת [Taw]