Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 17:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mfano wake ni ule wa simba anayetamani kurarua vipande-vipande+

      Na ule wa mwana-simba anayekaa mahali palipofichika.

  • Zaburi 59:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana, tazama! wamejificha wakiingojea nafsi yangu;+

      Wenye nguvu hunishambulia,+

      Bila ya uasi wowote upande wangu, wala dhambi yoyote upande wangu, Ee Yehova.+

  • Mika 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+

  • Matendo 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Zaidi ya mambo yote, usiwaache wakushawishi, kwa maana wanaume wao zaidi ya 40 wanamvizia,+ nao wamejifunga wenyewe kwa laana kutokula wala kunywa mpaka wawe wamemuua;+ nao sasa wako tayari, wakingojea ahadi kutoka kwako.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki