2 Mshikamanifu ameangamia kutoka duniani, na kati ya wanadamu hakuna mnyoofu.+ Wote huvizia ili kumwaga damu.+ Huwinda, kila mmoja ndugu yake mwenyewe, kwa wavu wa kukokota.+
21 Zaidi ya mambo yote, usiwaache wakushawishi, kwa maana wanaume wao zaidi ya 40 wanamvizia,+ nao wamejifunga wenyewe kwa laana kutokula wala kunywa mpaka wawe wamemuua;+ nao sasa wako tayari, wakingojea ahadi kutoka kwako.”