Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Mwishowe Sauli akamwambia Yonathani mwana wake na watumishi wake wote habari za kumuua Daudi.+

  • Zaburi 10:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+

      Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.

      Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+

  • Zaburi 37:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwovu anaendelea kumwangalia mwadilifu+

      Naye anatafuta kumuua.+

  • Zaburi 38:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Lakini wale wanaoitafuta nafsi yangu wanatega mitego,+

      Na wale wanaotaka kuniletea msiba wamesema mabaya,+

      Nao kwa sauti ya chini wanaendelea kusema udanganyifu mchana kutwa.+

  • Zaburi 56:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Wao wanashambulia, wanajificha,+

      Wao wanaendelea kuziangalia hatua zangu,+

      Huku wakiwa wameingojea nafsi yangu.+

  • Zaburi 71:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa maana adui zangu wamesema juu yangu,+

      Na walewale wanaoitafuta nafsi yangu wameshauriana pamoja,+

  • Yohana 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi baada ya mambo hayo Yesu akaendelea kutembea katika Galilaya, kwa maana hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitafuta kumuua.+

  • Matendo 23:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Zaidi ya mambo yote, usiwaache wakushawishi, kwa maana wanaume wao zaidi ya 40 wanamvizia,+ nao wamejifunga wenyewe kwa laana kutokula wala kunywa mpaka wawe wamemuua;+ nao sasa wako tayari, wakingojea ahadi kutoka kwako.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki