7Basi baada ya mambo hayo Yesu akaendelea kutembea katika Galilaya, kwa maana hakutaka kutembea katika Yudea, kwa sababu Wayahudi walikuwa wakitafuta kumuua.+
21 Zaidi ya mambo yote, usiwaache wakushawishi, kwa maana wanaume wao zaidi ya 40 wanamvizia,+ nao wamejifunga wenyewe kwa laana kutokula wala kunywa mpaka wawe wamemuua;+ nao sasa wako tayari, wakingojea ahadi kutoka kwako.”