Zaburi 64:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wanashikilia maneno mabaya;+Wanasema juu ya kuficha mitego.+Wamesema: “Ni nani anayewaona?”+ Zaburi 119:110 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 110 Waovu wamenitegea mtego,+Lakini sijaondoka katika maagizo yako.+ Luka 20:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na, baada ya kumtazama sana, wakatuma watu waliokodiwa kwa siri wasingizie kwamba walikuwa waadilifu, ili wapate kumnasa+ katika maneno, ili wamkabidhi kwa serikali na kwa mamlaka ya gavana.+
20 Na, baada ya kumtazama sana, wakatuma watu waliokodiwa kwa siri wasingizie kwamba walikuwa waadilifu, ili wapate kumnasa+ katika maneno, ili wamkabidhi kwa serikali na kwa mamlaka ya gavana.+