Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yeye amesema katika moyo wake:+ “Mungu amesahau.+

      Ameuficha uso wake.+

      Hakika hatauona kamwe.”+

  • Zaburi 59:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Tazama! Wanaropoka kwa kinywa chao;+

      Panga ziko midomoni mwao,+

      Kwa maana ni nani anayesikiliza?+

  • Zaburi 94:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Nao wanaendelea kusema: “Yah haoni;+

      Na Mungu wa Yakobo haelewi hilo.”+

  • Ezekieli 8:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akaniambia: “Je, umeona, Ee mwana wa binadamu, mambo ambayo wazee wa nyumba ya Israeli wanafanya katika giza,+ kila mmoja katika vyumba vya ndani vya sanamu yake ya kuchongwa? Kwa maana wanasema, ‘Yehova hatuoni.+ Yehova ameiacha nchi hii.’ ”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki