12 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, umeona mambo ambayo wazee wa nyumba ya Israeli wanafanya gizani, kila mmoja akiwa katika vyumba vya ndani ambamo sanamu zake za kuchongwa zimewekwa ili zionekane? Kwa maana wanasema, ‘Yehova hatuoni. Yehova ameiacha nchi hii.’”+