Isaya 29:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ole wao wanaojitahidi sana kumficha Yehova mipango yao.*+ Wanatenda matendo yao mahali penye giza,Huku wakisema: “Ni nani anayetuona? Ni nani anayejua kutuhusu?”+ Ezekieli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi akaniambia: “Kosa la watu wa nyumba ya Israeli na Yuda ni kubwa sana, kubwa kwelikweli.+ Nchi imejaa umwagaji wa damu,+ nalo jiji limejaa ufisadi.+ Kwa maana wanasema, ‘Yehova ameiacha nchi hii, na Yehova haoni.’+
15 Ole wao wanaojitahidi sana kumficha Yehova mipango yao.*+ Wanatenda matendo yao mahali penye giza,Huku wakisema: “Ni nani anayetuona? Ni nani anayejua kutuhusu?”+
9 Basi akaniambia: “Kosa la watu wa nyumba ya Israeli na Yuda ni kubwa sana, kubwa kwelikweli.+ Nchi imejaa umwagaji wa damu,+ nalo jiji limejaa ufisadi.+ Kwa maana wanasema, ‘Yehova ameiacha nchi hii, na Yehova haoni.’+