Ezekieli 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa hiyo akaniambia: “Kosa la nyumba ya Israeli na Yuda+ ni kubwa, kubwa sana,+ na nchi imejaa umwagaji wa damu+ nalo jiji limejaa upotovu;+ kwa maana wamesema, ‘Yehova ameiacha nchi hii,+ na Yehova haoni.’+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:9 Ibada Safi, uku. 176
9 Kwa hiyo akaniambia: “Kosa la nyumba ya Israeli na Yuda+ ni kubwa, kubwa sana,+ na nchi imejaa umwagaji wa damu+ nalo jiji limejaa upotovu;+ kwa maana wamesema, ‘Yehova ameiacha nchi hii,+ na Yehova haoni.’+