Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+

  • Yeremia 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Pia, alama za damu za nafsi+ za maskini wasio na hatia+ zimepatikana katika pindo za nguo zako. Sikuzipata katika tendo la kuvunja na kuingia, lakini ziko juu ya hizo zote.+

  • Ezekieli 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Ole wake jiji lenye matendo ya kumwaga damu!+ Mimi mwenyewe pia nitalifanya fungu hilo liwe kubwa.+

  • Mathayo 23:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 nanyi mnasema, ‘Kama tungekuwa katika siku za mababu zetu, hatungekuwa washiriki pamoja nao katika damu ya manabii.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki