16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+
34 Pia, alama za damu za nafsi+ za maskini wasio na hatia+ zimepatikana katika pindo za nguo zako. Sikuzipata katika tendo la kuvunja na kuingia, lakini ziko juu ya hizo zote.+
9 “Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Ole wake jiji lenye matendo ya kumwaga damu!+ Mimi mwenyewe pia nitalifanya fungu hilo liwe kubwa.+