Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme 21:1

Marejeo

  • +1Nya 3:13; 2Nya 33:1; Mhu 10:16; Mt 1:10

2 Wafalme 21:2

Marejeo

  • +Law 18:28; Kum 28:15; 2Nya 33:2
  • +Law 18:25; Kum 12:31; 2Nya 36:14; Eze 16:51

2 Wafalme 21:3

Marejeo

  • +2Fa 18:4, 22; 2Nya 32:12
  • +1Fa 16:32
  • +Kum 4:19; 17:3
  • +2Fa 23:4; Ayu 31:26
  • +2Nya 33:3

2 Wafalme 21:4

Marejeo

  • +Yer 32:34
  • +Kum 12:5; 2Sa 7:13; 1Fa 8:29; 9:3; Zb 78:68; 132:13

2 Wafalme 21:5

Marejeo

  • +Yer 8:2; Eze 8:16
  • +1Fa 6:36; 7:12

2 Wafalme 21:6

Marejeo

  • +2Nya 33:6
  • +Law 19:26
  • +Law 20:27
  • +Kum 18:11

2 Wafalme 21:7

Marejeo

  • +Zb 97:7; 1Ko 8:4
  • +2Fa 23:6
  • +1Fa 8:29; 2Fa 23:27; 2Nya 7:16

2 Wafalme 21:8

Marejeo

  • +1Nya 17:9; 2Nya 33:8
  • +Law 26:3; Kum 28:1

2 Wafalme 21:9

Marejeo

  • +2Nya 36:16; Ezr 9:10
  • +2Nya 33:9; Met 16:29; Eze 16:47
  • +Kum 7:1

2 Wafalme 21:10

Marejeo

  • +2Nya 33:10; 36:15; Yer 7:25; Mt 23:37

2 Wafalme 21:11

Marejeo

  • +2Fa 23:26; 24:3; Yer 15:4
  • +1Fa 21:26
  • +Mwa 15:16; Law 18:25; Eze 16:3
  • +Mhu 9:18

2 Wafalme 21:12

Marejeo

  • +2Fa 22:16; Da 9:12; Mik 3:12
  • +Yer 19:3

2 Wafalme 21:13

Marejeo

  • +2Sa 8:2; Isa 28:17; 34:11; Omb 2:8
  • +2Fa 17:6; Eze 23:33
  • +1Fa 21:21; 2Fa 10:11
  • +Law 18:28
  • +Yer 25:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Upeo wa Ufunuo, uku. 162

  • Fahirishi ya Machapisho

    re 162

2 Wafalme 21:14

Marejeo

  • +2Fa 17:23
  • +Kut 19:5; Kum 32:9
  • +Law 26:25; Kum 28:63; 2Pe 2:9

2 Wafalme 21:15

Marejeo

  • +Kum 9:21; 31:29; Amu 2:13; Zb 106:36; Eze 20:4; Mdo 7:53

2 Wafalme 21:16

Marejeo

  • +Mwa 9:6; Hes 35:33; 2Fa 24:4; Met 6:17; Isa 59:3; Yer 2:34; Mt 23:30; Ebr 11:37
  • +2Nya 33:9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 74

2 Wafalme 21:17

Marejeo

  • +1Fa 14:19

2 Wafalme 21:18

Marejeo

  • +1Fa 2:10; 2Fa 20:21
  • +2Fa 21:26

2 Wafalme 21:19

Marejeo

  • +1Nya 3:14; Mt 1:10
  • +2Nya 33:21

2 Wafalme 21:20

Marejeo

  • +Hes 32:14; 2Nya 33:22; Mdo 7:51

2 Wafalme 21:21

Marejeo

  • +2Fa 21:3
  • +Law 26:30; Kum 29:17; 2Fa 17:12; Yer 10:15; 1Ko 8:4

2 Wafalme 21:22

Marejeo

  • +Zb 73:27
  • +Amu 2:12; 2Fa 22:17; 1Nya 28:9; Yer 2:13

2 Wafalme 21:23

Marejeo

  • +Met 28:2

2 Wafalme 21:24

Marejeo

  • +Met 5:22
  • +2Nya 33:25

2 Wafalme 21:25

Marejeo

  • +1Fa 14:19

2 Wafalme 21:26

Marejeo

  • +2Fa 21:18
  • +Mt 1:10

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 21:11Nya 3:13; 2Nya 33:1; Mhu 10:16; Mt 1:10
2 Fal. 21:2Law 18:28; Kum 28:15; 2Nya 33:2
2 Fal. 21:2Law 18:25; Kum 12:31; 2Nya 36:14; Eze 16:51
2 Fal. 21:32Fa 18:4, 22; 2Nya 32:12
2 Fal. 21:31Fa 16:32
2 Fal. 21:3Kum 4:19; 17:3
2 Fal. 21:32Fa 23:4; Ayu 31:26
2 Fal. 21:32Nya 33:3
2 Fal. 21:4Yer 32:34
2 Fal. 21:4Kum 12:5; 2Sa 7:13; 1Fa 8:29; 9:3; Zb 78:68; 132:13
2 Fal. 21:5Yer 8:2; Eze 8:16
2 Fal. 21:51Fa 6:36; 7:12
2 Fal. 21:62Nya 33:6
2 Fal. 21:6Law 19:26
2 Fal. 21:6Law 20:27
2 Fal. 21:6Kum 18:11
2 Fal. 21:7Zb 97:7; 1Ko 8:4
2 Fal. 21:72Fa 23:6
2 Fal. 21:71Fa 8:29; 2Fa 23:27; 2Nya 7:16
2 Fal. 21:81Nya 17:9; 2Nya 33:8
2 Fal. 21:8Law 26:3; Kum 28:1
2 Fal. 21:92Nya 36:16; Ezr 9:10
2 Fal. 21:92Nya 33:9; Met 16:29; Eze 16:47
2 Fal. 21:9Kum 7:1
2 Fal. 21:102Nya 33:10; 36:15; Yer 7:25; Mt 23:37
2 Fal. 21:112Fa 23:26; 24:3; Yer 15:4
2 Fal. 21:111Fa 21:26
2 Fal. 21:11Mwa 15:16; Law 18:25; Eze 16:3
2 Fal. 21:11Mhu 9:18
2 Fal. 21:122Fa 22:16; Da 9:12; Mik 3:12
2 Fal. 21:12Yer 19:3
2 Fal. 21:132Sa 8:2; Isa 28:17; 34:11; Omb 2:8
2 Fal. 21:132Fa 17:6; Eze 23:33
2 Fal. 21:131Fa 21:21; 2Fa 10:11
2 Fal. 21:13Law 18:28
2 Fal. 21:13Yer 25:9
2 Fal. 21:142Fa 17:23
2 Fal. 21:14Kut 19:5; Kum 32:9
2 Fal. 21:14Law 26:25; Kum 28:63; 2Pe 2:9
2 Fal. 21:15Kum 9:21; 31:29; Amu 2:13; Zb 106:36; Eze 20:4; Mdo 7:53
2 Fal. 21:16Mwa 9:6; Hes 35:33; 2Fa 24:4; Met 6:17; Isa 59:3; Yer 2:34; Mt 23:30; Ebr 11:37
2 Fal. 21:162Nya 33:9
2 Fal. 21:171Fa 14:19
2 Fal. 21:181Fa 2:10; 2Fa 20:21
2 Fal. 21:182Fa 21:26
2 Fal. 21:191Nya 3:14; Mt 1:10
2 Fal. 21:192Nya 33:21
2 Fal. 21:20Hes 32:14; 2Nya 33:22; Mdo 7:51
2 Fal. 21:212Fa 21:3
2 Fal. 21:21Law 26:30; Kum 29:17; 2Fa 17:12; Yer 10:15; 1Ko 8:4
2 Fal. 21:22Zb 73:27
2 Fal. 21:22Amu 2:12; 2Fa 22:17; 1Nya 28:9; Yer 2:13
2 Fal. 21:23Met 28:2
2 Fal. 21:24Met 5:22
2 Fal. 21:242Nya 33:25
2 Fal. 21:251Fa 14:19
2 Fal. 21:262Fa 21:18
2 Fal. 21:26Mt 1:10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 21:1-26

2 Wafalme

21 Manase+ alikuwa na umri wa miaka 12 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka 55 katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Hefziba. 2 Naye akafanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova,+ kulingana na machukizo ya mataifa+ ambayo Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya wana wa Israeli. 3 Kwa hiyo akajenga tena mahali pa juu ambapo Hezekia baba yake alikuwa amepaharibu,+ akasimamisha madhabahu kwa ajili ya Baali na kutengeneza mti mtakatifu, kama alivyofanya Ahabu+ mfalme wa Israeli; naye akaanza kuliinamia+ jeshi lote la mbinguni+ na kulitumikia.+ 4 Naye akajenga madhabahu katika nyumba ya Yehova,+ ambayo Yehova alikuwa amesema hivi kuihusu: “Nitaweka jina langu katika Yerusalemu.”+ 5 Naye akajenga madhabahu kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni+ katika nyua mbili za nyumba ya Yehova.+ 6 Naye akampitisha motoni mwana wake mwenyewe,+ naye akafanya uchawi,+ akatafuta ishara za bahati na kufanyiza wenye kuwasiliana na pepo+ na wajuzi wa kubashiri+ matukio. Alifanya kwa kiasi kikubwa yale yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, na kumtia uchungu.

7 Na zaidi, akaweka sanamu ya kuchongwa+ ya mti mtakatifu aliyokuwa ametengeneza katika nyumba+ ambayo Yehova alikuwa amemwambia Daudi na Sulemani mwana wake hivi: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, ambalo nimelichagua kutoka katika makabila yote ya Israeli, nitaliweka jina langu mpaka wakati usio na kipimo.+ 8 Nami sitafanya tena mguu wa Israeli utoke katika nchi niliyowapa mababu zao,+ mradi tu wawe waangalifu kufanya kulingana na yote ambayo nimewaamuru,+ naam, kuhusiana na sheria yote ambayo mtumishi wangu Musa aliwaamuru.” 9 Nao hawakusikiliza,+ lakini Manase akaendelea kuwashawishi wafanye yaliyokuwa mabaya+ kuliko yale mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyaangamiza kutoka mbele ya wana wa Israeli.

10 Na Yehova akaendelea kusema kupitia watumishi wake manabii,+ akisema: 11 “Kwa sababu Manase+ mfalme wa Yuda amefanya machukizo+ haya, ametenda kwa uovu zaidi kuliko yote waliyotenda Waamori+ waliomtangulia, naye akasababisha Yuda watende dhambi+ kwa sanamu zake za mavi. 12 Ndiyo sababu Yehova, Mungu wa Israeli, amesema hivi, ‘Tazama, ninaleta msiba juu ya Yerusalemu+ na Yuda, ambao yeyote akiusikia masikio yake mawili yatawasha.+ 13 Nami nitanyoosha juu ya Yerusalemu kamba ya kupimia+ iliyotumika juu ya Samaria+ na pia timazi iliyotumiwa juu ya nyumba ya Ahabu;+ nami nitafuta+ kabisa Yerusalemu kama vile mtu anavyofuta kabisa bakuli lisilo na mkono, akilifuta kabisa na kulipindua.+ 14 Nami nitaacha mabaki+ ya urithi+ wangu na kuwatia mkononi mwa adui zao, nao watakuwa vitu vya kuporwa na kunyakuliwa na adui zao wote,+ 15 kwa sababu walifanya yaliyokuwa mabaya machoni pangu nao waliendelea kunitia uchungu tangu siku ile mababu zao walipotoka Misri mpaka leo hii.’”+

16 Manase pia alimwaga kwa wingi sana damu isiyo na hatia,+ mpaka alipolijaza Yerusalemu kutoka mwisho huu mpaka mwisho ule, mbali na dhambi yake aliyosababisha Yuda kutenda dhambi kwa kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ 17 Na mambo mengine ya Manase na yote aliyoyafanya na dhambi yake aliyotenda, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 18 Mwishowe Manase akalala pamoja na mababu zake,+ akazikwa katika bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza;+ na Amoni mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

19 Amoni+ alikuwa na umri wa miaka 22 alipoanza kutawala, naye akatawala miaka miwili+ katika Yerusalemu. Na jina la mama yake lilikuwa Meshulemethi binti ya Haruzi kutoka Yotba. 20 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova, kama alivyofanya Manase baba yake.+ 21 Naye akaendelea kutembea katika njia yote ambayo baba yake alitembea,+ naye akaendelea kuzitumikia sanamu za mavi+ ambazo baba yake alitumikia na kuziinamia. 22 Basi akamwacha Yehova,+ Mungu wa mababu zake, naye hakutembea katika njia ya Yehova.+ 23 Mwishowe watumishi wa Amoni wakampangia hila na kumuua+ mfalme ndani ya nyumba yake mwenyewe. 24 Lakini watu wa nchi wakawapiga na kuwaua wale wote waliompangia hila+ Mfalme Amoni. Kisha watu wa nchi wakamfanya Yosia+ mwana wake kuwa mfalme mahali pake. 25 Na mambo mengine ya Amoni, yale aliyofanya, je, hayakuandikwa katika kitabu+ cha mambo ya siku za wafalme wa Yuda? 26 Kwa hiyo wakamzika katika kaburi lake ndani ya bustani ya Uza;+ na Yosia+ mwana wake akaanza kutawala mahali pake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki